Habari kutoka Uingereza zinasema ndege ya British Airways aina ya 777 imeanguka huko London. Ndege ilikuwa inatua katika uwanja wa ndege ya Heathrow lakini ilikosa nguvu za umeme na ilibidi ifanya- glide. Glide enyewe haikuweza kufikisha ndege njia ya lami ya kutua ndege!
Ndege ilikuwa imetokea Beijing, China. Mungu ni mwema hakuna mtu aliyekufa. Ndege ilikuwa na abiria 136, kati yao 19 waliumia.
Kwa habari zaidi someni: