Thursday, January 17, 2008
Msikie mahojiano na Kanumba 1-27-08
Kutoka http://abdallahmrisho.blogspot.com/
Kanumba akihojiwa na mtangazaji wa kituo cha redio cha Voice of America (VOA) na kipindi chake kitarushwa hewani Jumapili ya tarehe 27 mwezi huu jioni saa moja na nusu, kwa wabongo wanaweza kunasa kupindi hicho Radio Tumaini au Radio Free Africa........kazi kwenu!
Labels:
Steven Kanumba,
VOA