Friday, January 18, 2008

Mtoto wa Osama Bin Laden anataka Amani


Mtoto wa Osama bin Laden (26), Omar Osama bin Laden anasema anataka 'Amani' duniani. Huyo mtoto ni tofauti kabisa na baba yake ambaye ameua maelfu ya watu duniani bila huruma wala majuto na kudai ataua maelfu zaidi.
Osama bin Laden ndiye ali-organize kulipuliwa kwa ubalozi za Marekani katika miji ya Dar es Salaam na Nairobi. Pia ndiye ali-organize matukio ya Septemba 11, 2001 ambayo yalisababisha vifo vya watu karibu elfu nne siku hiyo.
Omar anasema anataka kuwa Balozi wa Amani kati ya nchi za kiislam na nchi za Magharibi.
Mke wa Omar ni mwingereza, Jane Felix-Browne mwenye miaka 52. Kwa sasa wanakaa Misri.
Kwa habari zaidi someni:
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11