Friday, May 11, 2007

Wanamlaumu Rubani - Kuanguka kwa Kenya Airways Flight 507


Bado uchunguzi unafanywa kuhusu kuanguka kwa ndege ya Kenya Airways huko Cameroon. Kwa sasa wanamlaumu Rubani hiyo, marehemu Capt. Francis Mbatia Wamwea. Wanasema huenda aliamua kuondoka kwa vile ilibidi abiria wawahi connections Nairobi. Marubani wa ndege zingine mbili zilizokuwa pale uwanjani wa Air Moroc, na Cameroon Airlines waliamua kusubiri.

Mimi sikuwepo lakini huenda aliamini kuwa kwa vile hiyo ndege ni ya kisasa kama wanavyoisifia 'Ultra-Modern' haiwezi kuanguka. Tusisahau kuwa meli ya Titanic ilizama 1912 wakati walisema haiwezi kuzama kwa vile ilikuwa 'Ultra-Modern' kwa wakati huo. Lakini siku yako ya kufa ikifika, imefika! Hakuna cha Ultra-modern wala nini. Kila ukipanda ndege au hata kuingia kwenye gari lako ni kuomba ufike salama.

Lakini bado hawajapata Black Box ya Cockpit ambayo itatoa habari zote na maneno ya hao rubani. Maskini ya Mungu msaidizi wake, Andrew Kiuru, alikuwa ana miaka 23 tu. Alikuwa amemaliza kusoma urubani Afrika Kusini mwaka jana.

Habari zinasikitisha kweli. Moja ya abiria waliokufa alikuwa Mtaalam wa UKIMWI, Dr. Albert Henn, wa Harvard University.

Kwa habari zaidi soma:

http://seattlepi.nwsource.com/local/6420AP_Cameroon_Planes_Last_Moments.html

http://allafrica.com/stories/200705110439.html
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11