Thursday, May 10, 2007

Kwa Heri Lakisha!


Jana kwenye American Idol, Lakisha Jones alitolewa kwenye mashindano. Kwanza nashukuru kuwa aliweza kufika mpaka kuwa namba 4! Nilikuwa na wasiwasi angetolewa mapema maana wtau walikuwa wanamwita 'Fantasia Part 2' kwa vile ana mtoto. Na kwa kweli sikufurahi kuona Simon Cowell anampiga busu kwenye mdomo wiki iliyopita. Nilijua wazungu watachukia kuona hivyo. Wengi hawajui kuwa mchumba wa Simon Cowell ni mweusi.

Watu wanasema kuwa Show siyo nzuri mwaka huu, kwa vile waimbaji wengi hawana sauti za kuvutia mno kama za mastaa. Nalaumu majaji wa American Idol kwa sababu kulikuwa na waimbaji wzuri lakini hawakuchaguliwa. Kulikuwa na vijana wengi wa kiume wenye sauti za ajabu, lakini hata hatukuwaona kwenye finals! Badala yake walichagua wahuni kama yule malaya Antonella, na Sanjaya asiyeweza kuimba kusudi ratings ziwe juu. Watu wamechukia na ratings zimeshuka! Wameahidi mwaka kesho watakarabati jinsi wanavyochaga waimbaji.
Kwa kweli Lakisha ana suaiti nzuri, anaweza kushindana na Jennifer Hudson. Nina imani kuwa atenda mbali. Tutasikia ana contract hivi karibuni.

Bado wiki mbili za mashindano. Je, mshindi atakuwa Blake, Melinda au Jordin?

Ningependa kuona Melinda akishinda. Kwa kweli ana sauti nzuri mno na hakuna wiki aliimba vibaya.
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11