Wednesday, May 9, 2007

Mpakanjia sasa yuko Hoi!

Duh, ni majuto, maneno ya watu, mapenzi, au nini kinachomsumbua Bwana Mpakanjia?
Hivi majuzi kampa mke wake, Mheshimiwa Amina Chifupa, talaka na leo tunasikia yuko hoi kitandani! Mungu ampe nguvu maana mambo ya ndani yakianikwa hadharani yanaweza kuleta presha!



********************************************

From: http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2007/05/09/90143.html



Mumewe Amina hoi!



2007-05-09 Na Badru Kimwaga, Jijini

Siku chache tu baada ya `kumlima` talaka mkewe kwa tuhuma za kutokuwa muaminifu, katika ndoa, mfanyabiashara maarufu nchini, Bwana Mohammed Mpakanjia almaarufu kama `Meddy` imedaiwa kuwa hivi sasa yuko hoi bin taaban kitandani.


Akizungumza na Alasiri kwa njia ya simu mapema leo asubuhi, mfanyabiashara huyo ambaye pia ni mkandarasi wa kutengeneza barabara, amesema hivi sasa yu hoi kitandani kutokana na kusumbuliwa na maradhi ambayo hakuweza kuyafichua.
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11