Walianza kuionyesha Marekani halafu walianza kuionyesha nchi za Ulaya. Producers (Universal Studios) waliamua kuondoa weusi katika bango la sinema. Hebu cheki bango la Marekani (picha ya juu), na bango la Ulaya (Picha ya chini). Waliona wakiweka weusi kwenye bango watu hawataenda kuoiona huko Ulaya nini? Baada ya zozo kubwa hapa Marekani waliamua kutumia ile bango la awali!


Kwa habari zaidi BOYA HAPA: