Duniani kuna mambo! Huko Kinyerezi, Dar es Salaam, Mzee mwenye miaka 86 kambaka msichana mwenye miaka mitano! KHAA! Yaani alishindwa kumpata hata malaya wa kumridisha! Na wanasema kuwa alimpenya huyo mtoto! Nadhani huyo mzee atafia jela hivi karibuni! DUH!
Kama miaka mitano iliyopita hapa Boston, kuna Babu mwenye miaka 83 alimtia mimba msichana mwenye miaka 9! Hapa watoto wengine wana vunja ungo mapema. Yule binti alikuwa anakwenda na kikundi fulani cha watoto kwenye nyumba za wazee kuwatembelea na kuwa marafiki na wazee. Si mnajua nyumba za wazee hapa ni nyumba za kusibiri kifo. Tulishangaa kusikia bado vinaongelea na umri huo.
*******************************************************************
Kutoka ippmedia.comhttp://www.ippmedia.com
Elderly man (86) charged with raping kid (5)
By Jacqueline Mosha
27th November 2009
An elderly man, Omari Kitambo (86), was on Thursday arraigned in the Ilala District Court charged with raping a five-year-old girl (name withheld).
The accused, a resident of Kinyerezi on the outskirts of Dar es Salaam, appeared before Resident Magistrate Joyce Minde.
According to Asma Shemweta who read the charge sheet, the accused had carnal knowledge of the girl.
The accused pleaded not guilty to the charges and was remanded in custody after failing to meet bail conditions.