
Yaani watu hapa Marekani wanadhani kuwa Marekani ndo nchi ya kuzidi nchi duniani. Kuna zozo sasa kwa vile Rais Barack Obama aliinama wakati anamsalimu Emperor Akihito wa Japan. Jamani, kuonyesha heshima kwa kufuata mila ya nchi unayotembelea ni kosa? Mimi nampongeza Rais Obama kwa kutambua na kuheshimu mila na utamaduni za nchi zingine.
Kwa habari zaidi someni: