Monday, November 9, 2009

Mukesh wa Tabora


Wadau waliosoma Tabora Girls/Boys, na kupitia Masange JKT wataelewa hii blog.

Siku ya jumamosi nilikutana na Mukesh aka. Al Wattan wa Tabora. Nilikutana naye kwenye maduka pale Tangi Bovu/Shule unapopanda mabajaji. Niliingia kwenye duka pale kutafuta mahitaji. Nilishangaa kwa nini jamaa hajui bei ya vitu kwenye duka lake. Kaniambia kuwa hilo duka ni la mke wake na anamshikia kwa muda kwani yeye anakaa Tabora. Nikamwambia mbona mimi nilishakaa Tabora. Alisema, kila mtu mjini Tabora anamfahamu fundi wa magari. Ndo kuongea tukakuta kumbe tunajuana siku nyingi, ila mara la mwisho kuonana ni 1984 nilipomaliza Masange JKT. Tukapeana story za enzi zile. Nilimtania, yaani hatukujuana kwa vile tumezeeka!
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11