Wednesday, April 16, 2008

Familia ya Wamisionari waponea chupuchupu - Ajali ya Ndege

Mosier Family





Kuna habari kuwa familia ya wamisionari kutoka Minnesota wamenusurika kifo katika ajali ya ndege iliyotokea jana huko Congo.

Familia hiyo ni wamisionari wa Seventh Day Adventist (waSabato) huko Iringa. Walikuwa Congo kumtembelea mtoto wao ambaye ni misionari Congo. Wanaitwa Mosier family.

Habari zinasema kuwa binti wao mwenye miaka 14 ambaye anaongea kiswahili vizuri alisaidia kupata watu wa kuokoa familia yake.

Familia hiyo inasema kuwa wanamshukuru Mungu kuwa wote walitoka na hai kwenye hiyo ajali. Wanasema kuwa ni ishara kuwa Mungu ana kazi maalum ambayo anataka wafanye.

Kwa sasa wanasema watu 36 waliokuwa ndani ya ndege walikufa, na watu zaidi ya 100 waliumia.
Ndege ilianguka kwenye soko nje ya uwanja wa ndege ya Goma huko Congo.

Kusoma habari kamili bofya:
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11