Barack Obama na baba yake mzaziWaMarekani hawana dogo. Sasa wanamchambua baba yake mzazi Barack Obama, marehemu Mzee Barak H. Obama ambaye alifariki dunia kwa ajali ya gari 1982 huko Kenya. Obama mwenyewe hakumjua maana baba yake aliachana na mama yake Obama alivyokuwa mdogo kabisa.
Article inaitwa, 'Problems facing Our Socialism' na ilitoka kwenye East African Journal 1965.
Ukitaka kusoma Article enyewe Bofya Hapa:
http://www.politico.com/static/PPM41_eastafrica.html