Wednesday, April 16, 2008

Article aliyoandika Mzee Obama 1965

Barack Obama na baba yake mzazi

WaMarekani hawana dogo. Sasa wanamchambua baba yake mzazi Barack Obama, marehemu Mzee Barak H. Obama ambaye alifariki dunia kwa ajali ya gari 1982 huko Kenya. Obama mwenyewe hakumjua maana baba yake aliachana na mama yake Obama alivyokuwa mdogo kabisa.
Mzee Obama aliandika article kuhusu Ujamaa. Sasa kuna watu wanadai kuwa na Obama anataka kugeuza Marekani kuwa nchi ya kijamaa. Jamani dunia hii!

Article inaitwa, 'Problems facing Our Socialism' na ilitoka kwenye East African Journal 1965.

Ukitaka kusoma Article enyewe Bofya Hapa:

http://www.politico.com/static/PPM41_eastafrica.html
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11