
Naomba wasomaji wa blog hii waelewe kuwa blogu yangu siyo journalism, Hakuna editor (Mhariri), na wala si hoji interview na kuandika habari hapa, sina ratiba maalum ya kuandika na wala silipwi. Hii Blogu ni maoni yangu na naandika na kuposti kwa wakati wangu. Na wala habari zinazoandikwa hapa haziwezi ku-qualify kupata award ya journalism, bali zinaweza kupata award ya blogging. Mtu yeyote anaweza kuanzisha blogu yake mwenyewe… hakuna qualifications zaidi ya kujua kuandikia, kusoma na kutumia internet. Asanteni.