Tuesday, June 26, 2007

Safari ya Boti



Nimeona hii picha ippmedia.com leo. Caption ilisema kuwa ni wakazi wa Dar es Salaam wakienda kustarehe Bongoyo Island, kwenye boti iiliyotoka pale Slipway Dar.

Picha ni nzuri lakini iliniaacha na maswali. Mbona wazungu tu wamevaa lifejackets? (vifaa vya kuokoa maisha). Bila shaka hizo lifejackets ni zao binafsi. Na mawimbi hayo, duh! Ama kweli watu wameweka maisha ya mikononi mwa malaika. Lifejackets ni muhimu kama unasafiri kwenye boti na kwa bahati mbaya inapinduka au inazama. Maana unaweza kuelea kwenye maji kwa muda hata kama hujui kuogelea. Mara nyingi watu wanazama shauri ya uchovu kama hawajivaa.
Nakumbuka miaka ya nyuma Tanzania, maboti kadhaa yalipinduka na watu walikufa maji shauri ya kutokujua kuogelea na kuzama. Hata boti zilizama Lake Victoria na Lake Nyasa na watu kadha walipoteza maisha yao. Watu wangepona kama wangekuwa wamevaa lifejackets.
Na hata ukipanda kwenye ndege kitu cha kwanza wanakuambia hizo lifejackets ziko wapi kama kwa bahati mbaya ndege inaanguka kwenye maji.

Sidhani kama kuna sheria inayolazimisha hao wenye boti wawe na lifejackets za kutosha kwa ajili ya abiria yao. Na huenda ingekuwa ghali sana kwa hao wenye boti. WaBongo tuna maarifa lakini na hata dumu tupu inaweza kusaidia kuokoa maisha maana inalea kwenye maji.l
Lakini Mungu yupo na atatulinda. Ni kuomba kabla hujaingiwa kwenye boti.
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11