
Hapa niko na Mzee Ernest Millinga ambaye alikuwa mpiga picha mkuu wa gazeti ya serikali ya Kiingereza, Daily News.
Hapa tulikuwa kwenye 'assignment'. Tulikuwa kwenye meli fulani pale Ferry Dar. Nadhani ilikuwa kuhusu mambo ya kujenga daraja pale Ferry.
Picha ilipigwa 1993 na mpiga picha maarufu, Muhidini Issa Michuzi.