Monday, May 21, 2007

Misuko





Kuna wakati wanawake waafrika walipenda nywele zao walizozaliwa nazo, yaani nywele za kipilipili. Walikuwa wanazisuka kwa mitindo mbalmbali na kuzipamba na vitu kama 'rafia'.

Jamani, mnakumbuka yale mabunda ya rafia yalikuwa yanauzwa bei ya juu pale Kariakoo na hata kuuzwa kwa magendo baada ya 'Miezi 18' kile kipindi baada ya vita vya Kagera. Na ilikuwa mtu akisuka nayao basi ndo anaonekana mtu wa maana. Siku hizi ni weave! Zamani Tanzania walikuwa wanaita wigi, 'nywele ya maiti'. Sasa zinauzwa kila kona.

Kulikuwa na klabu/ saluni maalum za kusuka nywele. UWT (Umoja wa Wanawake Tanzania) nao walikuwa na sehemu zao za kusuka nywele.

Nakumbuka nilivyokuwa nasoma Zanaki, mwanafunzi mwenzangu Margaret Makame, alinisuka mtindo wa mistari, lakini iliyogeuzwa (mfano hapo juu). Walimu walikuja juu, eti nimesuka kizungu! Duh, siku hizi si kitu cha kushangaa.
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11