


Siku ya Alhamisi ilikuwa siku ya choo duniani. Ilikuwa siku ya kutambua umuhimu wa kutumia choo, kuwa na choo kisafi, na hata kuwa na choo. Nchi zingine watu hawana choo wanajisaidia wanapojiweza. Ni kero, hasa sehemu zingine Africa na hata Bongo unatembea njiani na kukutana na kinyesi cha binadamu, au unakuta sehemu inanuka mikojo, kumbe ndo 'unofficial' choo cha wanaume! Wanaume wanajisaidia haja ndogo popote bila aibu.
Kwa habari zaidi tembelea: http://www.worldtoiletday.com/