Monday, November 9, 2009

Kivutio cha Watalii kijijini Manda


Wadau, hii kaburi ni la Mjerumani aliyekufa huko Manda mwaka 1904. Alizaliwa 1879. Maandishi yalikuwa kwa kijerumani hivyo sikuelewa vizuri wanasema nini. Nasikia wazungu wakifika kijijini ni lazima wafike huko kuona kaburi. Ni njiani kwenda kanisa la St. Thomas, huko Nsungu. Pia watu huko wanaamini kuwa wajerumani wameacha dhahabu tele huko kijijini. Kila siku watu wanachimba huko kuzitafuta!
Stori inaendea hivi, Mwingereza alipovamia, wajerumani walitia dhahabu yao kwenye sanduku. Waafrika wawili walipewa kazi la kubeba hiyo sanduku. Waliambiwa wachimbe shimo kubwa la kuficha hiyo sanduku. Baada ya kuchimba hilo shimo, waliingiza sanduku. Wajerumani waliwapiga risasi hao waafrika wawili na kuwazika humo humo kwenye shimo na hilo sanduku la dhahabu. Walihofia watasema wameficha wapi hiyo dhahabu. Kuna watu ambao wanaamini kuwa wajerumani wameacha ishara kadhaa kuonyesha walipozika ila sanduku.
Picha zingine zitabandikwa kesho jioni.

 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11