Friday, October 9, 2009

Rais Obama Ashinda Tuzo ya Nobel (Amani)

Rais Barack Obama ameshinda tuzo ya Amani ya Nobel (Nobel Peace Prize). Hiyo ni tuzo enye heshima kubwa sana duniani. Watu wengi hapa Marekani wamepigwa butwaa maana wanasema kuwa hasthili kupewa. Wengine wanatania kuwa eti kapewa shauri ya kusuluhisha ugomvi kati ya Prof. Henry Louis Gates, Jr. na polisi Sgt. Jim Crowley hapa Cambridge, MA.

Wanakamati wa Nobel wanasema kuwa Rais Obama alichaguliwa shauri ya bidii yake ya kupoza chuki kati ya Marekani na nchi za KiIslamu.

Wengine waliowahi kushinda ni: Al Gore, Jimmy Carter, na Martin Luther Jr.

Kwa habari zaidi someni:

http://edition.cnn.com/2009/WORLD/europe/10/09/obama.nobel.international.reaction/

http://freakonomics.blogs.nytimes.com/2009/10/09/a-little-soon-for-the-nobel-peace-prize/
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11