
Wanakamati wa Nobel wanasema kuwa Rais Obama alichaguliwa shauri ya bidii yake ya kupoza chuki kati ya Marekani na nchi za KiIslamu.
Wengine waliowahi kushinda ni: Al Gore, Jimmy Carter, na Martin Luther Jr.
Kwa habari zaidi someni:
http://edition.cnn.com/2009/WORLD/europe/10/09/obama.nobel.international.reaction/
http://freakonomics.blogs.nytimes.com/2009/10/09/a-little-soon-for-the-nobel-peace-prize/