Tuesday, May 27, 2008

Watoto wadogo walazimishwa kufanya ngono ili wapate Chakula!


Jamani! Unaweza kulia baada ya kusikia habari hizi! Kumbe huko Haiti, Sudan, Ivory Coast na nchi zingine watoto wadogo wenye miaka sita wamelazimishwa kufanya ngono na kupiga picha za uchi kusudi wapate chakula kutoka kwa wafanyakazi wa vyama vinavyotoa misaada.
Wanasema kuwawalinda amani (Peacekeepers), na watoa misaada wa vikundi mbalimbali wamo kwenye orodha ya wanaonyanyasa watoto wadogo. Wanasema kuwa mara nyingi uhalifu kama huo unatokea kwenye makambi ya wakimbizi. Huduma mpaka kwa ngono! Habari zinasema wamelazimisha hata watoto wenye miaka sita kufanya ngono!
Huko Haiti binti wa miaka kumi na tano alisema kuwa alikuwa antembea na rafiki zake. Wakakutana na kundi la wafanyakazi wa chama kimoja cha misaada. Walitoa bolo zao kwenye suruali na kuwaambia wazinyonye ili wapate hela. Yule binti alikataa lakini rafiki zake walikubali na kupewa vihela na pipi.

Ubaya zaidi ni kuwa ingawa wenyeji wanajua inatokea nini, hawasemi kitu. Wanaogopa kuwa kama wakilalamika misaada itaacha kuja.

Lakini hebu mjiulize. Ni watu gani wanaofanya kazi kwenye hizi kundi? Mara nyingi ni watu waliokosa kazi kwao! Je, wanapimwa akili kabla ya kupewa kazi muhimu kama kwenda kugawa chakula au kulinda amani.

Lazima nisifu ripoti waliotoa Save the Children. Wamefanya kazi nzuri mno ya kuumbua hao washenzi!
Kwa habari zaidi someni:



 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11