

Leo ni siku ya kutotumia bidhaa za tumbaku kama sigara, cigar, pipe nk. Nichi nyingi wanakuwa na warsha za kuelimisha watu juu ya madhara ya kuvuta sigara na kutumia tumbaku.
Theme ya mwaka huu ni "Vijana kutokuvuta Sigara"
Sigara zinaua! Acheni kuvuta. Na tunajua wanaovuta sigara wananuka. Wanakuwa na harufu ya sigara kwenye nywele na nguo zao na pia midomo yao inanuka! Kwa nini mvuta sigara anakubali kuunguza mapafu yake huko mtengeneza sigara anatajirika. Mvuta sigara ana kohoahoa na anakuwa na makohozi meusi! Na ile kansa ya pafu ya sigara inaua haraka. Hapa Marekani wanasema kama kuna kitu ambayo ina uhakika wa kukua ni kuvuta sigara.
ACHENI KUVUTA SIGARA!
Kwa habari zaidi someni:
http://www.who.int/tobacco/wntd/2008/en/
http://www.dailytimes.com.pk/default.asp?page=2008%5C05%5C31%5Cstory_31-5-2008_pg13_7