Kesho ni siku ya mwisho wa mktano na sherehe ya kuadhilisha miaka 10 ya kanisa.
Saturday, May 24, 2008
Mkutano wa International Gospel Church
Hizi ni baadhi ya picha nilizopiga jana jioni kwenye mkutano mkuu wa International Gospel Church huko, Chelsea, MA. Unahudhuriwa na wageni /waumini wengi kutoka nchi mbalimbali.
Kesho ni siku ya mwisho wa mktano na sherehe ya kuadhilisha miaka 10 ya kanisa.
Kijana Felix wa IGC akiburudisha wakati wa kutoa sadaka
Pastor Jared Mlongecha akitafsiri maneno ya Evangelist Clint Rodgers
Evangelist Clint Rodgers akiongea na moja wa waumini aliyetoka Maryland
Evangelist Clint Rodgers akisoma kutoka Biblia
Wachungaji na waimbaji, 'Les Mas' kutoka Ubelgiji
Kesho ni siku ya mwisho wa mktano na sherehe ya kuadhilisha miaka 10 ya kanisa.