Dada Subi ameniletea linki hii:
*********************************************
Samahani kwa kuchelewa kuleta tangazo (nilikuwa najihudhurisha mbele ya liwali asinisahau kwenye ujira)ni hivi, nimebandika link hapa: http://nukta77.com/soccer.aspx mtu kuweza kuchagua pa kutizamia mechi za michezo mbalimbali ikiwemo huu wa soka/futiboli la leo (Liverpool vs Chelsea)
Kwa wale washamba wa vijiji vya USAgara/USA river na vitongoji vyake, huu ndiyo wakati mzuri wa kwenda sambamba na walioko Tz
Subi