



Mke wa zamani wa mwimbaji maarufu Michael Jackson ambaye pia ni mama watoto wake, Debbie Rowe (49) amekasirika mno! Kisa, watoto aliyozaa na Jackson, wamepigwa picha bila kufunikwa ushungi.
Anasema kuwa walivyokuwa wadogo watu walitiisha kuwateka hao watoto. Sasa wanajua walivyo itakuwa rahisi wao kutekewa.
Baada ya kuwaona watu wanauliza kama hao kweli ni watoto wa Michael Jackson. Au ni kweli huyo Debbie Rowe alifanyiwa Artificial Insemination (kuchomwa sindano zenye shahawa/mbegu) ukeni. Si siri kuwa Jackson hakupenda weusi wake, pua kubwa, nywele za kipilipili, rangi yake. Ndo maana kajiegeuza kuwa kinyago.
Si ajabu Jackson alimchagua baba watoto wake na alinunua hiyo shahawa! Watu waliozoea kuona watu mixed wanajua kuwa lazima hao watoto watakuwa na rangi kiasi na curly hair. Hao nywele zao zimenyoka kizungu! Hebu cheki mifano ya watu mixed, kama Halle Berry, Shemar Moore, Barack Obama, na Derek Jeter. Wataalamu wa DNA wanasemaje hapo?
Kwa habari zaidi someni:
http://www.foxnews.com/story/0,2933,330232,00.html
http://breakingnews.iol.ie/entertainment/story.asp?j=245984520&p=z45985zz6