Mamilioni ya waMarekani walipiga kura zao jana kupata mgombea rais wa upande wa Democrats na Republicans. Hakuna mshindi kamili kwa pande zote.
Hivi kwa Dems, bado tunaye Obama na Clinton. Kwa Republicans bado wapo Huckabee, Romney na McCain.
Kwa habari zaidi soma:
http://www.cnn.com/2008/POLITICS/02/06/super.main/index.html
Wednesday, February 6, 2008
Uchaguzi wa wagombea Rais Marekani - Hakuna mshindi kamili
Labels:
Barack Obama,
Hillary Clinton,
John McCain,
Mike Huckabee,
Mitt Romney