
Rais Jakaya Kikwete, kaonyesha waTanzania kuwa hana mchezo. Amevunja Baraza la Mawaziri!
Pia amekubali ombi la kujiuzulu uwaziri mkuu, Mheshimiwa Edward Lowassa.
Kuona Baraza la Mawaziri lilliyovunjwa bofya HAPA:
Cheche zimetembea Bungeni tangu ripoti ya Mheshimiwa Dr. Harrison Mwakyembe kusomwa Bungeni jana. Ripoti ilihusu sakata la umeme na kampuni tapeli la Richmond.
Kusoma Ripoti hiyo bofya HAPA:
Mwalimu Nyerere aliwahi kuvunja Baraza lake la Mawaziri.