Wednesday, January 9, 2008

Hillary Clinton ashinda New Hampshire!


Senator Hillary Clinton ameshinda uchaguzi wa awali huko New Hampshire kwa upande wa Democrats. Senator Barack Obama, amekuwa wa pili. Matokeo yalikuwa karibu. Clinton alipata asimilia 39% ya kura, na Obama alipata asilimia 36%. Clinton sasa ni mwanamke wa kwanza kushinda uchaguzi wa awali New Hampshire.
Watu walitarajia Obama atashinda tena kwa kura nyingi. Watu wengi walishangaa kuona Bi Clinton anaongoza kutoka mwanzo. Watu wanasema huenda alivyoanza kulia juzi ulisaidia watu kuona kuwa Hillary kumbe ni binadamu kama wao. Bi Clinton aliulizwa awali kuhusu nywele zake.
Hali ya hewa New Hampshire ilikuwa nzuri na wazee wengi walitokea kumpigia kura Hillary. Vijana walioahidi kumpigia kura Obama hawakutokea. Mtangazaji moja alisema huenda walikuwa wamelewa au wamechoka kutokana na kusherekea ushindi wa Obama Iowa.
Bado uchaguzi wa awali katika states 48. Tarehe 5 mwezi Februari states 20 watakuwa na uchaguzi wa awali.
Hillary Clinton, ni mke wa Rais Clinton. Kama akishinda urais wa Marekani atakuwa mwanamke wa kwanza kuwa wa rais wa Marekani, pia atakuwa First Lady wa Kwanza kuwa Rais, na Bill Clinton atakuwa mwanaume wa kwanza kuwa First Gentleman na ambaye aliwahi kuwa rais.

Kwa habari zaidi someni:
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11