
Mtengeneza sinema Josiah Kibira, anaanza kupata umaarufu katika dunia ya sinema. Hapa anahojiwa nyumbani kwake jana na Channel 12, huko Minnesota. Walitaka kujua habari zaidi ya sinema ya Bongoland II. Josiah ameondoka leo kuelekea Tanzania.
Hapo anaongea na mtangazaji, Lisa Furgison, wa Channel 12, Twin Cities, Minnesota. Mnaweza kuona mahojiano leo hapa: Channel 12 Live