Thursday, May 17, 2007

Kwa Heri Melinda! American Idol IMEOZA!

American Idol imepoteza watazamaji wengi baada ya kutolewa kwa Melinda Doolittle (29) jana.
Waliobaki sasa ni kijana wa kizungu Blake na shombe Jordin. Blake sijapenda staili yake maana anaimba huko anafanya ma beat box, halafu Jordin basi tu ndo wiki hizi za mwaisho ndo kajitahidi sana lakini sijaona kama anasthahili kushinda.

Nimechukia sana kwa sababu hakuna wiki tangu walivyoanza kuonyesha msimu huu kuwa Melinda alikosea wimbo. Ana sauti nzuri ajabu na majaji wote walikubali hivyo. Yeye kati wa wote waliochaguliwa katika Top 24, ndiye alishahili kushinda.

Lakini mshndi anachaguliwa na watazamaji. Na tunajua kuwa bado kuna ubaguzi Marekani. Ukiingia kwenye bodi ya American Idol utaona wanavyotukana waimbaji weusi. Insikitisha kweli kweli.

Haya tuone nani atashinda wiki ijayo, lakini mimi sitazami. Nitaona matokeo kwenye taarifa ya habari. Kwa nini nipoteze muda kuangalia watu wasiostahili kuwa Idol wawe pale? No nitangalia Sopranos reruns! Huenda Tony ataweza kuwawahack hao producers wa show!

Msimu wa sita wa American Idol umeoza kweli kweli.

For the benefit of non Swahili speaking readers, I say that American Idol is rotten and stinks! Is it a talent contest or a popularity contest?
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11