




Usiku wa kuamkia jumamosi May 5, 2007, ndege ya Kenya Airways ilianguka huko Cameroon, mara tu baada ya kutake-off kwenye uwanja wa ndege ya mji mkuu wa nchi hiyo Douala. Lakini ilichukua masaa 40 kuona ndege ilianguka wapi. Ajabu zaidi, huko Cameroon sijui hawakujua ndege imeanguka. Watu walienda kwenye airport Nairobi na ndege haikuonekana! Ilikuwa itue Nairobi saa 12 asubuhi. Kwneye hiyo ndege kulikuwa na abiria 115 kutoka nchi 23 na mmoja alikuwa MTanzania.
Hapa kazini kwangu wazungu wanasema, ehe mnaona huko Africa ni Bush/Jungle mpaka wanashindwa kujua ndege imanguka wapi. Japo comments inchukiza lakini ni kweli kwa nini ilichukuwa muda wote huo kuona mabaki ya hiyo ndege. Na kama mtu aliponea, huenda alikufa akingojea waokozi! Africa ina sifa mbaya sana kwenye suala ya usafiri wa ndege.
Hata hivyo, nimesisitiza kwa hao wazungu kuwa Kenya Airways ni airline nzuri hawatumii zile ndege za kirusi za zamani, bali wanatumia ndege za kisasa. Hata hiyo ndege iuliyoanguka ilikuwa mpya maana ilikuwa na miezi sita tu.
Na tusisahau kuwa miaka sita iliyopita ndege ya Kenya Airways, ilianguka huko Abidjan, Ivory Coast. Katika ajali hiyo watu kumi kati ya 169, waliponea.
Kwenye hii ajali nchi za France, South Africa, Kenya na Marekani walituma watu kwenda kusaidia kutafuta mabaki ya hiyo ndege. Jamani, Cameroon enyewe imeshindwa kuona ndege iliyoanguka kilomita 20 kutoka mji mkuu wao. DOH!
Na kwa sababu ya joto, maiti na mabaki ya abiria waliokuwemo kwenye hiyo ndege zimeanza kuoza. Wanasema kuwa hata wakipata maiti ambayo ni nzima, wakinyanyua inadondoka vipande!
MUNGU AWALAZE MAHALI PEMA MBINGHUNI. AMEN/AMIN.
Kwa wanaotafuta habari zaidi:
Kenya Airways advised relatives seeking information to call +271 12071100, which is an international line, and 3200353, 3200354, 3274349.
Hapa kazini kwangu wazungu wanasema, ehe mnaona huko Africa ni Bush/Jungle mpaka wanashindwa kujua ndege imanguka wapi. Japo comments inchukiza lakini ni kweli kwa nini ilichukuwa muda wote huo kuona mabaki ya hiyo ndege. Na kama mtu aliponea, huenda alikufa akingojea waokozi! Africa ina sifa mbaya sana kwenye suala ya usafiri wa ndege.
Hata hivyo, nimesisitiza kwa hao wazungu kuwa Kenya Airways ni airline nzuri hawatumii zile ndege za kirusi za zamani, bali wanatumia ndege za kisasa. Hata hiyo ndege iuliyoanguka ilikuwa mpya maana ilikuwa na miezi sita tu.
Na tusisahau kuwa miaka sita iliyopita ndege ya Kenya Airways, ilianguka huko Abidjan, Ivory Coast. Katika ajali hiyo watu kumi kati ya 169, waliponea.
Kwenye hii ajali nchi za France, South Africa, Kenya na Marekani walituma watu kwenda kusaidia kutafuta mabaki ya hiyo ndege. Jamani, Cameroon enyewe imeshindwa kuona ndege iliyoanguka kilomita 20 kutoka mji mkuu wao. DOH!
Na kwa sababu ya joto, maiti na mabaki ya abiria waliokuwemo kwenye hiyo ndege zimeanza kuoza. Wanasema kuwa hata wakipata maiti ambayo ni nzima, wakinyanyua inadondoka vipande!
MUNGU AWALAZE MAHALI PEMA MBINGHUNI. AMEN/AMIN.
Kwa wanaotafuta habari zaidi:
Kenya Airways advised relatives seeking information to call +271 12071100, which is an international line, and 3200353, 3200354, 3274349.
Majina ya Crew ya Ndege hiyo:
• Wamwea Francis Mbatia - Captain • Wanyoike Andrew Kiuru - First Officer • Kiiru Phylis Njeri - Flight Purser • Njoroge Allan Njenga - Flight Attendant • Nyakweba Lydia Mocheche - Flight Attendant • Ong’ondo Elizabeth Achieng - Flight Attendant • Wakhu Shantaben Niriza - Flight Attendant • Kadurenge Cyprian Mande - Flight Attendant • Kisilu William Muia - Flight Engineer