Saturday, April 21, 2007

Poleni Wanafunzi wa UDSM lakini....

Students trying to Leave UDSM Main Campus
Ofiice Notice about UDSM Closing
Wanafunzi wa Uuniversity of Dar es Salaam (UDSM), waliofukuzwa majuzi wataruhusiwa kurudi Chuoni lakini kwa masharti:

From Michuzi Blog:

" Taarifa za redio mbao zilizonifikia punde ni kwamba wanafunzi wa udsm waliofukuzwa juzi kwa kugoma kuingia darasani wametakiwa waandike barua ya kujieleza ikiwa imeambatanishwa na 100,000/- ya matibabu pamoja na ada asilimia 40 (kama laki nane hivi) kupitia benki na wawe wamezipeleka barua na risiti za malipo hayo ya benki kwa makamu mkuu wa chuo kati ya aprili 23 hadi mei 4 ili kuweza kufikiriwa kurudi chuo. nafanya juhudi kupata waraka kamili wa masharti yote. "


Nimesoma kwenye ippmedia.com, kuwa wanafunzi waliofukuzwa na wasio na familia DSM, wameishia kuuza vitu vyao kama simu na TV ili wapate hela ya chakula na nauli ya kurudi makwao. Wanasema kuwa wasichana 'wanajiuza' ili wapate mahitaji yao. Ama kweli hali inasikitisha.

Nani aliwachochochea wagome? Je, wako wapi? Nikikumbuka miaka ya nyuma na migomo mingine anayeumia ni mtoto wa mkulima, au mtoto aliyetoka kwenye familia enye kipato kidogo. Watoto wanaotoka familia zinazojiweza wanapelekwa 'abroad' kumaliza masomo yao.

Kuhusu eti zamani watu walisoma bure, lazima niseme si kweli. Kumbuka kuwa kulikuwa na JKT, ilikuwa njia moja ya 'kutoa shukurani' kwa serikali kukusomesha. Pia ilikuwa ukianza kazi unatakwa mshahara kwa muda fulani. Kwa kweli ilikuwa si bure. Pia enzi zile wasomi walikuwa wachache. Je wakiamua kurudisha ule utaratibu wa kusomesha mamia kwa mwaka badala ya maelfu hali itakuaje?

Ni mwaka 2007, na siyo miaka ya 1960's au 1970's na hata 1980's. Na wajue maisha ni magumu duniani pote. Hata hapa USA kama huna full scholarship utafanya kazi mbili tatu, huko unasoma ili kuweza kumudu fees. Wenye wazazi wanaoweza kuwalipia 'full' ni wachache sana ukilinganisha na idadi ya wanafunzi. Wanafunzi wengi wanasoma kwa mchanganyo wa mikopo, grants, scholarships na kazi.

Na kumbuka enzi zile wengi walipelekwa Eastern bloc, yaani Urusi, Poland, Bulgaria, East Germany, Yugoslavia etc. kusoma bure lakini hakuna tena. Dunia umebadilika.

REMEMBER LIFE IS NOT EASY.
 

FREE HOT VIDEO 1 | HOT GIRL GALERRY 1

FREE HOT VIDEO 2 | HOT GIRL GALERRY 2

FREE HOT VIDEO 3 | HOT GIRL GALERRY 3

FREE HOT VIDEO 4 | HOT GIRL GALERRY 4

FREE HOT VIDEO 5 | HOT GIRL GALERRY 5

FREE HOT VIDEO 6 | HOT GIRL GALERRY 6

FREE HOT VIDEO 7 | HOT GIRL GALERRY 7

FREE HOT VIDEO 8 | HOT GIRL GALERRY 8

FREE HOT VIDEO 9 | HOT GIRL GALERRY 9

FREE HOT VIDEO 10 | HOT GIRL GALERRY 10

FREE HOT VIDEO 11 | HOT GIRL GALERRY 11